Friday, June 8, 2012

WISHING ALL THE LIGHTS IN THE COMING UDSM -UE

hello kwa friends wote wa universuty of dar es salaam ambao wanategemea kluanza mitihani yao ya kumaliza mwaka (semester ya pili) jumatatu ya tar 11, june, na vyuo vingine ambavyo nao wapo kwenye maandalizi yao ya mitihani ya kumaliza mwaka! may every body get blessen in the name of jesus na mungu wetu tunayemwamin awalinde wote dhidi ya magonjwa nambo mengine mabaya!hope kila mtu atafanya vizur!@OUR LORD BE WITH YOU"

Wednesday, May 30, 2012

SWALI GUMU KWA YEYOTE MUUNGANO KWAKO KUN FAIDA GANI?

Naombeni ndugu zangu watanzania msinishangae kwa mambo ninayo fikiria kuhusu muungano ya tanganyika na zanzibar ulio washirikisha wazee wetu , ndg,KARUME NA J. K .NYERERE, ni kweli waliunganisha udongo kwa kuuchanganya tuu!n apich azao hadi sasa tunazo je swali ni hili
 kwan nini zanzibari isihesabike kama mkoa wa tanzania katika kila swala linaloihusu isimame kam amkoa uliopo katika nchi ya tanzania?
  •  hivi kwa nin raisi wa zanzibar anatawal anchoi yenye watu wasiopungua millioni moja na nusu na kujihesabu kama yeye ni rais?
  • kwan kati ya dar n azanzibari kwa hesabu ya watu ipi ingestahili kuitwa nchi?
  • ni faid azipi kote tanzania na zanzibar wamefaidi toka muungano huo 1964?
  • kwa nin tanzania bara in ang'ang'ania muungano usio na maslahi kwa taifa letu?
  • hadi sasa makanisa yanachomwa huko zanzibar je ni kitu gani ambacho wanawatafuta wakristo?
        • mwisho nawaombeni taaanzania bara tukae na zanzibar na kila upande uishi kivyake kwa kufuata taratibu stahiki"

Thursday, May 24, 2012

TABIA HII IMEZIDI SANA.

      imekuwa ni jmbo lakawaida office nyingi kuwa tumia secretaries kabla hujaingia kwenye office zao direct!kwa hiyo inanishangasa sana baada ya muda mfupi na hao wandugu wanataka kufany akazi ambazo mabossi wao wanazifanya kwa mfano waweza kufika unamtaka uonane na bosi wake ila yeye anaanza kukuuliza kwna wewe una tatizo gani tayari kwa kukusikilza na mwishowe anjipanya anakupa jibu ambalo angekupa bosi wake! 
     tena ushukuru mungu umkute unayemtaka unaweza kupona klutopewa jibu mapema na mwana mama huyo au akina baba kwenye baadhi ya office, 
  kwa hiyo neno langu ni moja tuu!
    you bosses watch out, gonna loose the will from your customers!!!!! and for those who try to be like their bosses end will reach and you will never be a boss through the bad path!
   kiukweli yatawafika haya kama mnajifany amnajua sana!

Saturday, May 19, 2012

KWANGU NAONA KAMA UPUMBAVU

Kweli napenda kushukuru kwa sasa tuna vituo vya  tv vya kutosha ila najua bado vitaongezeka, siku hadi siku, vilevile teknologia still inapanda kwa kasi siku hadi siku ila tatizo langu mimi ni kuwa watazamaji bado hawajawa na akili za kutosha na kwa simu zao wanazotumia, hivi ni kwa nin kipindi kinaendeshwa na mtu anaweza kuchangia chochote anachotaka kwa njia ya sms au facebook au twitter, but kinachochangiwa ni watu kutafuta marafiki na wengine wanataka wachumba sasa sielewi ndio mtu anachangia kwa style gani hiyo?
   kwa ufupi naombeni tubadilikeni tutumie mitandao yetu vizuri!

Saturday, May 5, 2012

HADI ANALIZA KILA MBUNGE ATAKUWA ASHAONJAUWAZIRI

 Slaam watanzani awenzangu hivi kwa mwenendoi wa mawaziri kuaminiwa then wanazingua, na mtu huyo huyo aliyewapa ridhaa hawafanyi chochote zaidi ya kuwavua uwaziri  na wizi wote waliofanyia tanzania, je ni kwa nin tusiwafukuze hadi ubunge?n angalizo langu ni kuwa hadi analiza uraisi zaidi ya 78% ya ccm watakuwa washauonja uwaziri !tafakarin?

Thursday, May 3, 2012

thanks god!

dear my friends! you just know that nothing is impossible before god!nw am back to the business god help me ever as well as my friends!

Monday, April 30, 2012

MEI MOSI NA TANZANIA YETU YA LEO!

Inashangaza kweli tumekuwa watu wa kuwa na sikukuu zisizo na tija kwa hiyo nikiwa kama mtanzania nashangaa na kuingiwa na hifu kwa tanzania yetu ijayo yaan the coming generation: hivi wiki mbili sasa tumekuwa na siku mbili bila kufanya kazi na hii haichagui office ni ya government au private. ni swala la wote:
 maswalimagumu niliyokuwa nayo ni:
 1:tanzania inafaidika vipi na sikukuu ya mei mossi almaarufu kama siku ya wafanyakazi?
 2:tanania inafidia vip upotevu wa mapato katika siku hiyo moja inayopoteza?
 3:huwa wana kauli mbiu za kila mwaka bila kutiliwa mkazo au kutofanikiwa kiujumla.
 4:sijui ni lini kama serikali itaamua kufuta sikukuu zote zisizo na tija kwa taifa hili:
     MWISHO NAWATAKIA WATANZANIA WOTE SIKUKUU NJEMA YA MEI MOSI!

Sunday, April 29, 2012

SIMBA SPORT CLUB!

         ILIKUWA MAJIRA YA KAWAIDA KWA MECHI KUPIGWA KATIKA UWANJA WA TAIFA WA TANZANIA, KAMA KAWAIDAWAWAKILISHI PEKEE WA TANZANIA KWENYE KOMBE LASHIRIKISHO KUMFANYA KITU  MBAYA SANA WAARABU KUTOKA SUDAN, NA HAPO TAYARI TUMESHA KWEND AHATUA NYINGINE, THANXS KWA WAPENZI WA SIMBA NA WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA KWA USHABIKI AU COMPANY YA KUTOSHA BILA KUWASAHAU WALE WALIOWEZA KUENDELEZA UZALENDO YAAN WATAN WETU!BADO MUENDELEE KUTUOMBEA MUNGU TUWAKILISHE IPASAVYO!
  MIM KAMA MPENZI NA SHABIKI MKEREKETWA WA CLUB YA SIMBA~

Tuesday, April 24, 2012

BUNGE LA TANZANIA

 Jana tarehe 23 april bunge l jamhuri ya tanzania liliahirishwa  rasmi na mh waziri mkuu MIZENGO KAYANZA PINDA hadi 12 june 2012!ila maswali mengi tumebaki nayo watanzania hasa wenye hali ngumu y amaisha kama mimi na wengi wetu tunaoishi kwa nguvu za mwenyezi mungu!
1:hotuba y awaziri mkuu yawa nyepesi na bila kuonesha sehemu yoyote anayosema kuwa  hapendezwi na utendaji wa mawaziri  wenziye:
2:kuna kura za maoni za kutokuwa na imani na waziri mkuu zinazoendelea na kwa sasa zimefikia 74 while zilikuwa zinahitajika  70 zaidi ya 20%, je utekelezaje wake utasubiri bunge lijalo au muda wowote kutoka sasa?
3:inaonesha kuwa mh rais anawabembeleza sana mawaziri wake na ndio maana wanakuwa na jeuri kiasi wanavyotaka wao?
 END:kweli kam awatafanikiwa kumwondoa waziri mkuu kwani wabunge ndio wan auwezo huo basi hapo baraza la mawaziri nalo litakuw abatili hivyo lazima livunjwe"so kwa kuona hivi ni lazima wabunge wafanye juu chini kumwondoa waziri mkuu na next itakuwa bwana JK kuvunja baraza lake lisilokuwa na tija kwa mtanzania wa kawaid akam amim na wewe! 

MAHAKAMA YA KISUTU SOGEZENI JLADA MBELE

Ni swala la kushangaza sana kesi kusomwa kwa mara ya pili bila kuamua kitu chochote, inajulikana kuwa mdogo wetu lulu is suspected to kill the late kanumba last month,sawa na kesi ilisomwa mara ya kwanza na kuahirishwa hadi april 23, sikatai kwa kusema kuwa ushahidi bado haujakamilika:sasa maswali yangu ni haya kwa wahusika:
   1:kwa nini mnaendelea kushughulikia kesi ambayo hamna dhamana ya kuisikiliza labda tu mpate jurisidiction from high court?
  2: inasemekana lulustill under 18 kwa hiyo kwa nin kesi yake isisikilizwe n akuwa solved kwa kufuata kanuni za watoto?
 3;inashangaza kuona zaidi ya askari magereza saba na polisi wakiwa wanamsindikiza lulu, kwani kawa fisadi?
 MWISHO!NAPENDA JAMANI HILI SWALA LIARAKISHWE KWANI KUNA MAMBO MENGINE Y AMSINHI YANATAKIWA KUFANYIKA PELEKENI JALAD AHIGH COURT  NA TANZANIA JAMAN WATU WENYE UWEZO WA KISHERIA JITOKEZENI KWA KUMSAIDIA LULU!@MUNGU MBARIKI ELIZABETY MICHAEL!

Monday, April 23, 2012

kweli bunge letu  la Tanzania hawaoni umuhimu wa kuongea muda angalau mambo ya msingi yamalizike kuliko kuahirisha mkutano leo wakati kuna mambo mengi y akutolea ufafanuzi!bless tanzani aever ilatunahitaji baraza jipya la mawazir trust you jk!
amen in the name of good!

hello friends and buddies enjoy the inc!!

i think this gonna be best than most i brought about!lov u all enjoy the next episode!