kwan nini zanzibari isihesabike kama mkoa wa tanzania katika kila swala linaloihusu isimame kam amkoa uliopo katika nchi ya tanzania?
- hivi kwa nin raisi wa zanzibar anatawal anchoi yenye watu wasiopungua millioni moja na nusu na kujihesabu kama yeye ni rais?
- kwan kati ya dar n azanzibari kwa hesabu ya watu ipi ingestahili kuitwa nchi?
- ni faid azipi kote tanzania na zanzibar wamefaidi toka muungano huo 1964?
- kwa nin tanzania bara in ang'ang'ania muungano usio na maslahi kwa taifa letu?
- hadi sasa makanisa yanachomwa huko zanzibar je ni kitu gani ambacho wanawatafuta wakristo?
- mwisho nawaombeni taaanzania bara tukae na zanzibar na kila upande uishi kivyake kwa kufuata taratibu stahiki"
No comments:
Post a Comment