HADI ANALIZA KILA MBUNGE ATAKUWA ASHAONJAUWAZIRI
Slaam watanzani awenzangu hivi kwa mwenendoi wa mawaziri kuaminiwa then wanazingua, na mtu huyo huyo aliyewapa ridhaa hawafanyi chochote zaidi ya kuwavua uwaziri na wizi wote waliofanyia tanzania, je ni kwa nin tusiwafukuze hadi ubunge?n angalizo langu ni kuwa hadi analiza uraisi zaidi ya 78% ya ccm watakuwa washauonja uwaziri !tafakarin?
No comments:
Post a Comment