Friday, June 8, 2012

WISHING ALL THE LIGHTS IN THE COMING UDSM -UE

hello kwa friends wote wa universuty of dar es salaam ambao wanategemea kluanza mitihani yao ya kumaliza mwaka (semester ya pili) jumatatu ya tar 11, june, na vyuo vingine ambavyo nao wapo kwenye maandalizi yao ya mitihani ya kumaliza mwaka! may every body get blessen in the name of jesus na mungu wetu tunayemwamin awalinde wote dhidi ya magonjwa nambo mengine mabaya!hope kila mtu atafanya vizur!@OUR LORD BE WITH YOU"

No comments:

Post a Comment