Inashangaza kweli tumekuwa watu wa kuwa na sikukuu zisizo na tija kwa hiyo nikiwa kama mtanzania nashangaa na kuingiwa na hifu kwa tanzania yetu ijayo yaan the coming generation: hivi wiki mbili sasa tumekuwa na siku mbili bila kufanya kazi na hii haichagui office ni ya government au private. ni swala la wote:
maswalimagumu niliyokuwa nayo ni:
1:tanzania inafaidika vipi na sikukuu ya mei mossi almaarufu kama siku ya wafanyakazi?
2:tanania inafidia vip upotevu wa mapato katika siku hiyo moja inayopoteza?
3:huwa wana kauli mbiu za kila mwaka bila kutiliwa mkazo au kutofanikiwa kiujumla.
4:sijui ni lini kama serikali itaamua kufuta sikukuu zote zisizo na tija kwa taifa hili:
MWISHO NAWATAKIA WATANZANIA WOTE SIKUKUU NJEMA YA MEI MOSI!
No comments:
Post a Comment