Tuesday, April 24, 2012

MAHAKAMA YA KISUTU SOGEZENI JLADA MBELE

Ni swala la kushangaza sana kesi kusomwa kwa mara ya pili bila kuamua kitu chochote, inajulikana kuwa mdogo wetu lulu is suspected to kill the late kanumba last month,sawa na kesi ilisomwa mara ya kwanza na kuahirishwa hadi april 23, sikatai kwa kusema kuwa ushahidi bado haujakamilika:sasa maswali yangu ni haya kwa wahusika:
   1:kwa nini mnaendelea kushughulikia kesi ambayo hamna dhamana ya kuisikiliza labda tu mpate jurisidiction from high court?
  2: inasemekana lulustill under 18 kwa hiyo kwa nin kesi yake isisikilizwe n akuwa solved kwa kufuata kanuni za watoto?
 3;inashangaza kuona zaidi ya askari magereza saba na polisi wakiwa wanamsindikiza lulu, kwani kawa fisadi?
 MWISHO!NAPENDA JAMANI HILI SWALA LIARAKISHWE KWANI KUNA MAMBO MENGINE Y AMSINHI YANATAKIWA KUFANYIKA PELEKENI JALAD AHIGH COURT  NA TANZANIA JAMAN WATU WENYE UWEZO WA KISHERIA JITOKEZENI KWA KUMSAIDIA LULU!@MUNGU MBARIKI ELIZABETY MICHAEL!

No comments:

Post a Comment